Safari za Hija na Umra kwa Elimu na Utulivu
Tunawaongoza Waumini wa Tanzania na Zanzibar kutekeleza Hija na Umra kwa elimu sahihi ya ibada, ratiba iliyoandaliwa vizuri, na mazingira ya utulivu yanayokuwezesha kuzingatia ibada kikamilifu.
kuhusu taasisi yetu
Zanzibar Istiqaama Hajj and Travelling Agency (Istiqaama Mothercare) ni moja kati ya taasisi inayoandaa Safari za Hajj kwa muda mrefu zaidi Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, tangu mwaka 2001. Huduma zetu kwa mahujaji pamoja na bei nafuu zimetupatia umaarufu na kuaminika katika jamii yetu. Tangu kuanzishwa kwake hadi sasa tayari imeshasafirisha takriban mahujaji 3500 , ambao kwa uwezo wa Allah tumewasaidia kutekeleza ibada ya Hijja.
Mpangilio na maelekezo ya ibada ya hajj kutoka kwa Wasomi wetu wa dini, Viongozi wa taasisi na Madaktari wanahakikisha kuwa Hujaji amejitayarisha vyema kabla ya Hijja, na wakati wa Hijja humuongoza kwenye Ziara yenyewe ya Hajj katika hali bora na utulivu.. Soma Zaidi
Safari Zetu Maalum za Hija na Umrah.
HIJA CLASS D 2026
UMRAH YA RAMADHANI 2026
Jisajili Sasa kwa Hija & Umrah 2026
Wasiliana Nasi
Ofisi Kuu (Unguja – Zanzibar)
📍 Vikokotoni, Zanzibar
📞 0777 422 838
📞 0776 829 044
📲 WhatsApp: 0773 047 979
✉️ zihatavikokotoni@yahoo.com
Huduma kamili za usajili wa Hija & Umrah
Ofisi zetu nyengine
📍 Ofisi ya Pemba
📞 0777 415 456
📞 0777 428 898
📍 Ofisi ya Dar es Salaam
📞 0773 271 929
📞 0713 604 658
Maelezo Muhimu
Tarehe za Safari
Safari ya Hija: Kuondoka Mei 16, 2026 – Kurudi Juni 6 2026
Safari ya Umra ya Ramadhani: Kuondoka Machi 6, 2026 – Kurudi Machi 16 2026
Pakua Ratiba ya Semina za Hija
Ratiba Ya Semina 2026
Pakua Fomu ya Usajili
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ
وَأَذِّن فِى ٱلنَّاسِ بِٱلْحَجِّ يَأْتُوكَ رِجَالًۭا وَعَلَىٰ كُلِّ ضَامِرٍۢ يَأْتِينَ مِن كُلِّ فَجٍّ عَمِيقٍۢ
Tafsir— Ali Muhsin Al-Barwani.